Wednesday, January 12, 2011

NI LEO SIKU YA MAOMBOLEZI

Ni wa tz wenzetu waliopoteza maisha huko ARUSHA wakishiriki maandamano ya amani .POLICE wakatumia nguvu na risasi za moto kutoa uhai wao,hivyo hawapo nasi tena kiwili ,Mungu naomba ziweke roho zoa mahari pema peponi amina.

No comments:

Post a Comment