Wednesday, May 4, 2011
TUZICHOKE SIASA ZA UONGO
Nini haja ya kudanganya uma? na dhani ni sababu ya kujikinga kisiasa tu.Kinga ya mauvu ni uongo kwa CCM.Wemetudanganya kuwa wamejivua gamba.Kwa lipi? mbona kuna mgongano mkubwa kati ya Katibu mkuu wa chama hicho MAKAME na katibu mwenezi NAPE.Hivi nani anapaswa kuwaandikia mafisadi barua za kujiuzulu kati ya NAPE na MAKAME?,
Thursday, February 3, 2011
WABUNGE AMUENI KWA KAULI MOJA
Ni bunge la wajanja wengi wenye kutaka masilahi ya umma yatimizwe.Naamini wabunge mkiamua kuesa sasa umasikini basi ya wezekana,ujinga mwiko na maradhi hayakubaliki.Tanzania si haba bali wanaoliongoza Taifa hili ndio wasaliti wetu na kutufanya tuwewategemezi.Hatutegemei wabunge mnabenza suala la DOWANS ambapo muhusika yupo ROSTAM AZIZI, suala la katiba mpya ,mfumuko wa bei,kuongezeka ujinga hasa matokeo ya kidato cha nne n.k.Tumieni fursa hii kutetea walalahoi wa vijijini.Ambao hadi leo hii wanamjua NYERERE ndio rahisi wao.Wkeni kando maslahi binafsi ,muogopeni muumba wetu .
Wednesday, January 12, 2011
DOWANS DOWANS JAMANI
Maisha yako juu, umeme umepandishwa bei, maisha ya vyuoni haya eleweki 5000 kwa siku eni shida 10000 kwa siku haiwezekani eti serikali haina pesa lakini kuna pesa ya kulipa DOWANS .Hii ndo TZ
NI LEO SIKU YA MAOMBOLEZI
Ni wa tz wenzetu waliopoteza maisha huko ARUSHA wakishiriki maandamano ya amani .POLICE wakatumia nguvu na risasi za moto kutoa uhai wao,hivyo hawapo nasi tena kiwili ,Mungu naomba ziweke roho zoa mahari pema peponi amina.
WANAHARAKAYI TULAANI YA ARUSHA
Nilipatwa na mshituko nilopoangalia taarifa ya habari juu ya maandamano yaliyo andaliwa na CHADEMA kupinga shughuli zima za uchaguzi wa umea ARUSHA MJINI ambapo maandamano hayo yaliandaliwa kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tz.Kulikuwepo na haja gani ya police kutumia siraha za moto kuwatawnya waandamanaji ,kuua ndugu zetu, kuwapiga na kuwaachia majeraha? . Wanaharakati wa vyuoni,maofisini, na kungineko mliko tulaani kitendo hicho.
Subscribe to:
Posts (Atom)