Wednesday, December 29, 2010
LAZARO: NA HILO NALO JAMANI DU! HII KWELI TANZANIA.
LAZARO: NA HILO NALO JAMANI DU! HII KWELI TANZANIA.: "Waswahili husema ukiona za helea hujue zimeundwa napata hushangao kuwa kwanini suala la KATIBA linapigwa danadana? na kulipuuzia..."
NA HILO NALO JAMANI DU! HII KWELI TANZANIA.
Waswahili husema ukiona za helea hujue zimeundwa napata hushangao kuwa kwanini suala la KATIBA linapigwa danadana? na kulipuuzia kanakwamba si msingi imara wa uongozi?.Bila ya unafiki viongozi waliopewa dhamana ya kuliongoza tai?fa hili na wananchi wenyewe wanataka katiba mpya .Wao wanasema haiwezekani kwani kipi kinawezekakana kwa TZ ? IKIWA KILA KITU HAIWEZEKANI JAMANI? hatakubadilisha katiba?! acheni unafiki ni wakati wa mabadiliko viongozi wetu lazima mtamue hilo.Mbona mnangangania mfumo uleule wa tangu mwanzo na sasa na siku zote na milele amina? je katiba ya mwaka 1977 haijapita na wakati?.Tuishi kulingana na wakati na sio kulingana na matakwa ya wachache.Uma unataka katiba basi tupeni katiba mpya.NA wala msije kutumia nguvu ya dola kulizima suala la katiba.Jiulizeni jamani wafuasi wa CUF tu wamejaribu kuandamana kushinikiza kuandikwa kwa katiba mpya lakini polisi ambao jukumu lao kubwa ni kulinda amani lakin wao wamekuwa kipawa mbele ktk kuzuia sauti ya watanzania kuhusu katiba.Tumeshudia mbunge Ubungo ,bwana Mnyika akipeleka hoja binafsi ofisi ndogo ya mbunge Dar-es salaam.Naamini yeye ni mwakilishi wa mawazo ya wananchi wake waliomchagua.TUNAOMBA VIONGOZI MSIWE WABABAISHAJI maana wananchi ndio tunao umia.WAtanzania tujiulize je tunayo DEMOKRASIA AU KIVULI CHA DEMOKRASIA?
Monday, December 20, 2010
MKWAWA UNIVERSITY KUNAVIJIMAMBO ,HONGERA LAZARO KWA MSIMAMO
ILI KUWA SIKU YA STUDENTS BARAZA AMBAPO WANACHUO WALIPOTOAMADUKUDUKU YAO YANAYOHUSU MSTSKABADHI WAO JUU KUWEPO KWAO CHUONI.IKUMBUKWE KUWA DARUSO-MUCE AMBOPO MYOVELA NDIYE RAIS AMEPOTEZA MWELEKEOKABISAWAKUWA KIONGOZI WA WATU WAKE AMBAO WALIMUWEKA MADARAKANI.TAREHE 18/12/2010 .NI SIKU YA KUMBUKUMBU KWA MAKAMU WA RAIS KWAKUMDHIHIRISHIA WAZIWAZI KUWA WATU HAWAMTAKI KUTOKANA NA USHIRIKI NA OPARESHENI YAKE YA KUUZA VYUMBA NA HATA KUOMBA RUSHWA YA NGONO ILI WATU WAPEWE VYUMBA AMBAVYO WALISTAHILI KUUDPATA KWA MUGIBU WA KATIBA NA SHERIA YA UGAWAJI VYUMBA UDSM. WANACHUO WAMPA LAIFU MH.JANUARY PHILIPO AMBAYE NI MAKAMU WA RAIS KUWA HAWMTAKI ANGATUKE .MWANA HARAKATI MMJOJA AMBAYE NI MUHANGA WA UTAWALA MBOVU DARUSO 2010/2011, KAPINGA LAZARO ALIYE TOLEWA MADARAKANI KUTOKANA NA MIZENGWE YA UTAWALA HUO, ALIPASUA JUPU MBELE YA UMATI WA WANACHUO WOTE KUWA MAKAMU WA RAIS NIYE ALIYECHAFUA HALI YA HEWA NDANI YA DARUSO-MUCE NA KUMUOMBA HAACHIE NGAZI ILI WENYE MOYO WA DHATI WA ONGOZE DARUSO. WANACHUO WALISHANGILIA NA KUFUPA PESA HATIMAYE KUMNYANYUA JUU KAM SHUJAA WA KWELI NA MTETEZI WA HAKI,NDIPO KIDHAADHAA KILIPO ANZAAA KUMSHAMBULIA JANUARY KAMA MBWA MWIZI.NILITEGEMEA JANUARY ANGENYOSHA MIKONO KWA MASHAMBULIZI KAMA YALE AMA KWELI JAMAA ANAMOYO MGUMU ZAIDI YA PAKA ,ANA TOA KAULI ZA MAUZI NA KUSEMA HAMNI WEZI, MNAJADILI UDAKU ,JE NI NANI ATAMUONGOZA JANUARY? WOTE WANAMKANA NAOMBA ACHUKUE HATUA ZA HARAKA NA NZITO ILI KULINDA BUSARA NA HESHIMA YAKE. JE HII SIO TASWIRA YA VIOPNGOZI WA KIAFRICA KUNGANGANIA MADARAKANI? ANGALIA ZIMABWE, SUDAN, IVORY COAST,KENYA NA TANZANIA KUMBE WANAANZA TUNGU CHUONI MTOTO HUMLEOVYO NIVYO AKUOVYO.
Subscribe to:
Posts (Atom)